Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.

      Utautayarisha moyo wao.+

      Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+

  • Isaya 30:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wakati watu walio katika Sayuni+ watakapokaa katika Yerusalemu,+ wewe hutalia kwa vyovyote.+ Yeye hakika atakuonyesha kibali unapotoa sauti ya kilio chako; mara tu atakapokisikia kwa kweli atakujibu.+

  • Danieli 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+

  • Yohana 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda-dhambi,+ bali ikiwa mtu yeyote anamwogopa Mungu na anafanya mapenzi yake, yeye humsikiliza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki