62Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni,+ nami sitakaa kimya kwa ajili ya Yerusalemu+ mpaka uadilifu wake utoke kama mwangaza,+ na wokovu wake kama mwenge unaowaka.+
17 “Paaza sauti tena, na kusema, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bado majiji yangu yatafurikwa na wema tena;+ na Yehova bado atajuta juu ya Sayuni+ na bado atalichagua Yerusalemu.” ’ ”+