Zaburi 132:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amechagua Sayuni;+Amepatamani pawe makao kwa ajili yake mwenyewe:+ Zekaria 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha malaika+ wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova akukemee,+ Ee Shetani, ndiyo, Yehova akukemee, yeye ambaye analichagua Yerusalemu!+ Je, huyu si kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni?”+
2 Kisha malaika+ wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova akukemee,+ Ee Shetani, ndiyo, Yehova akukemee, yeye ambaye analichagua Yerusalemu!+ Je, huyu si kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni?”+