42 Lakini hata alipokuwa akikaribia, yule roho mwovu akamwangusha chini na kumfanya agaegae kwa nguvu nyingi. Hata hivyo, Yesu akamkemea yule roho mchafu na kumponya mvulana naye akamkabidhi baba yake.+
9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+