Zekaria 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha malaika wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova na akukemee, ewe Shetani,+ naam, Yehova, ambaye amechagua Yerusalemu,+ na akukemee! Je, mtu huyu si gogo lililochomolewa motoni?” Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:2 Mnara wa Mlinzi,9/1/1988, uku. 11
2 Kisha malaika wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova na akukemee, ewe Shetani,+ naam, Yehova, ambaye amechagua Yerusalemu,+ na akukemee! Je, mtu huyu si gogo lililochomolewa motoni?”