Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo nikatangaza kwamba watu wafunge hapo penye mto Ahava, ili tujinyenyekeze+ mbele za Mungu wetu, tutafute kutoka kwake njia iliyo sawa+ kwa ajili yetu na kwa ajili ya watoto wetu+ na kwa ajili ya mali zetu zote.

  • Esta 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na katika wilaya zote mbalimbali za utawala,+ kokote ambako neno la mfalme na sheria yake ilikuwa ikifika, kulitokea maombolezo+ makubwa kati ya Wayahudi, na kufunga,+ na kulia, na kuomboleza. Na wengi wakatandika nguo za magunia+ na majivu+ kuwa vitanda vyao.

  • Zaburi 35:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+

      Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+

      Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+

  • Zaburi 69:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nikalia kwa kufunga kwa nafsi yangu,+

      Lakini ikawa shutuma kwangu.+

  • Ezekieli 27:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao watajitia upara kwa ajili yako,+ na kujifunga nguo za magunia+ na kukulilia wewe kwa uchungu wa nafsi, kwa kuomboleza kwa uchungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki