21 Ndipo nikatangaza kwamba watu wafunge hapo penye mto Ahava, ili tujinyenyekeze+ mbele za Mungu wetu, tutafute kutoka kwake njia iliyo sawa+ kwa ajili yetu na kwa ajili ya watoto wetu+ na kwa ajili ya mali zetu zote.
3 Na katika wilaya zote mbalimbali za utawala,+ kokote ambako neno la mfalme na sheria yake ilikuwa ikifika, kulitokea maombolezo+ makubwa kati ya Wayahudi, na kufunga,+ na kulia, na kuomboleza. Na wengi wakatandika nguo za magunia+ na majivu+ kuwa vitanda vyao.