Zaburi 35:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+ Zaburi 109:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Magoti yangu yametetemeka kwa sababu ya kufunga,+Na mwili wangu umekonda, bila kuwa na mafuta yoyote.+
13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+
24 Magoti yangu yametetemeka kwa sababu ya kufunga,+Na mwili wangu umekonda, bila kuwa na mafuta yoyote.+