Kutoka 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+ Kumbukumbu la Torati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana fungu la Yehova ni watu wake;+Yakobo ndiye mgawo anaorithi.+ Zaburi 135:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yah amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe,+Israeli awe mali yake ya pekee.+ Amosi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ‘Mimi nimewajua ninyi peke yenu+ kati ya familia zote za nchi.+ Hiyo ndiyo sababu nitawatoza ninyi hesabu kwa sababu ya makosa yenu yote.+
5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
2 ‘Mimi nimewajua ninyi peke yenu+ kati ya familia zote za nchi.+ Hiyo ndiyo sababu nitawatoza ninyi hesabu kwa sababu ya makosa yenu yote.+