Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,

      Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.

  • Yeremia 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamtoza hesabu kila mtu aliyetahiriwa lakini ambaye bado yumo katika hali ya kutotahiriwa,+

  • Ezekieli 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+

  • Danieli 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+

  • Hosea 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Naye Yehova ana kesi na Yuda,+ kumtoza Yakobo hesabu kulingana na njia zake;+ atamlipa kulingana na matendo yake.+

  • Amosi 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kwa hiyo hayo ndiyo nitakayokutendea, Ee Israeli. Kwa sababu nitakutendea mambo hayo, jitayarishe kukutana na Mungu wako,+ Ee Israeli.

  • Waroma 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 dhiki na taabu, juu ya nafsi ya kila mtu anayefanya mabaya, ya Myahudi+ kwanza na pia ya Mgiriki;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki