Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+ Yeremia 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+ ninazikagua figo,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,+ kulingana na matunda ya matendo yake.+
12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+
10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+ ninazikagua figo,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,+ kulingana na matunda ya matendo yake.+