Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+ Mika 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na nchi itakuwa mahame yenye ukiwa kwa sababu ya wakaaji wake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.+ Waroma 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+ Ufunuo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+ Ufunuo 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Tazama! Mimi ninakuja upesi,+ na thawabu+ ninayotoa ipo pamoja nami, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+
13 Na nchi itakuwa mahame yenye ukiwa kwa sababu ya wakaaji wake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.+
21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+
23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+
12 “ ‘Tazama! Mimi ninakuja upesi,+ na thawabu+ ninayotoa ipo pamoja nami, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+