14 Mimi pia nitawatoza ninyi+ hesabu kulingana na matunda ya matendo yenu,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawasha moto katika msitu wake,+ na hakika huo utateketeza vitu vyote vinavyomzunguka.’”+
24 nao wataanguka kwa makali ya upanga na watapelekwa mateka katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mpaka nyakati zilizowekwa+ za mataifa zitimie.