Zaburi 44:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wewe unatutoa kama kondoo, kama chakula,+Nawe umetutawanya kati ya mataifa.+ Yeremia 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 nami nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuyajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza.’+
16 nami nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuyajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza.’+