Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, ninatuma juu yao upanga,+ njaa+ na tauni,+ nami nitawafanya kuwa kama tini zilizopasuka ambazo haziwezi kuliwa kwa sababu ya ubaya.”’+

  • Ezekieli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sehemu ya tatu utaiteketeza katika moto katikati ya jiji mara tu zitakapotimia siku za kuzingira.+ Nawe utachukua sehemu nyingine ya tatu. Utaipiga kwa upanga kulizunguka jiji pande zote,+ nayo sehemu ya tatu ya mwisho utaitawanya kwenye upepo, nami nitauchomoa upanga nyuma yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki