Yeremia 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Tazameni, ninatuma dhidi yao upanga, njaa kali, na ugonjwa hatari,+ nami nitawafanya kuwa kama tini zilizooza* ambazo ni mbaya sana hivi kwamba haziwezi kuliwa.”’+
17 ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Tazameni, ninatuma dhidi yao upanga, njaa kali, na ugonjwa hatari,+ nami nitawafanya kuwa kama tini zilizooza* ambazo ni mbaya sana hivi kwamba haziwezi kuliwa.”’+