2 Nacho kikapu kimoja, tini zilikuwa nzuri sana, kama tini za mapema;+ nacho kile kikapu cha pili, tini zilikuwa mbaya sana, hivi kwamba hazingeweza kuliwa kwa sababu ya ubaya.
8 “‘Na kama zile tini mbaya ambazo haziwezi kuliwa kwa sababu ya ubaya,+ kwa kweli Yehova amesema hivi: “Ndivyo nitakavyomtoa Sedekia+ mfalme wa Yuda na wakuu wake na mabaki wa Yerusalemu wanaobaki katika nchi hii+ na wale wanaokaa katika nchi ya Misri+—