Yeremia 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Lakini kuhusu tini mbaya ambazo ni mbaya sana hivi kwamba haziwezi kuliwa,+ Yehova anasema hivi: “Ndivyo nitakavyomwona Mfalme Sedekia+ wa Yuda, wakuu wake, wakaaji wa Yerusalemu waliobaki katika nchi hii, na wale wanaokaa nchini Misri.+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 24:8 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, kur. 15-16
8 “‘Lakini kuhusu tini mbaya ambazo ni mbaya sana hivi kwamba haziwezi kuliwa,+ Yehova anasema hivi: “Ndivyo nitakavyomwona Mfalme Sedekia+ wa Yuda, wakuu wake, wakaaji wa Yerusalemu waliobaki katika nchi hii, na wale wanaokaa nchini Misri.+