Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

      Kulingana na usafi wa mikono yangu mbele za macho yake.+

  • Zaburi 128:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+

      Anayetembea katika njia zake.+

  • Mhubiri 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+

  • Sefania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

  • Waroma 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 bali utukufu na heshima na amani kwa kila mtu anayefanya mema,+ kwa Myahudi kwanza+ na pia kwa Mgiriki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki