Yohana 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tunachokijua,+ kwa sababu wokovu hutokana na Wayahudi.+ Matendo 13:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+
22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tunachokijua,+ kwa sababu wokovu hutokana na Wayahudi.+
46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+