29 Hata hivyo, kila taifa tofauti likajifanyia mungu wake mwenyewe,+ ambaye walimweka katika nyumba ya mahali pa juu ambapo Wasamaria walikuwa wamejenga, kila taifa tofauti, katika majiji yao ambamo walikuwa wakikaa.
33 Wakawa wakimwogopa Yehova,+ lakini wakaiabudu miungu yao wenyewe,+ kulingana na dini ya yale mataifa ambayo kutoka katikati yao waliwapeleka uhamishoni.+