Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 96:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+

      Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+

  • Zaburi 135:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,+

      Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+

  • Isaya 44:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wanaofanya sanamu ya kuchongwa wote ni ubatili,+ na vipenzi vyao hawatakuwa na faida yoyote;+ na wakiwa mashahidi wao hawaoni lolote wala hawajui lolote,+ ili waone aibu.+

  • Yeremia 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hizo ni kama sanamu ya kufukuza ndege ya shamba la matango, nazo haziwezi kusema.+ Nazo hakika hubebwa, kwa maana haziwezi kupiga hatua zozote.+ Zisiwatie woga, kwa maana haziwezi kufanya jambo lolote lenye kuleta msiba, na zaidi ya hayo, haziwezi kufanya wema wowote.”+

  • Mika 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana vikundi vyote vya watu vitatembea kila kimoja katika jina la mungu wake;+ bali sisi tutatembea katika jina la Yehova Mungu wetu+ mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

  • Waroma 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 na kuugeuza utukufu+ wa Mungu asiye na uharibifu kuwa kitu kama sanamu+ ya mwanadamu aliye na uharibifu na ya ndege na viumbe vyenye miguu minne na vitu vinavyotambaa.+

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki