Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Zina kinywa, lakini haziwezi kusema;+

      Zina macho, lakini haziwezi kuona;+

  • Zaburi 135:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zina kinywa, lakini haziwezi kusema lolote;+

      Zina macho, lakini haziwezi kuona chochote;+

  • Isaya 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+

  • Habakuki 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “ ‘Ole wake anayekiambia kipande cha mti: “Ee amka!” anayeliambia jiwe lisiloweza kusema: “Ee amka! Hizo zenyewe zitafundisha”!+ Tazama! Zimefunikwa kwa dhahabu na fedha,+ wala hamna pumzi yoyote katikati yake.+

  • 1 Wakorintho 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mnajua kwamba mlipokuwa watu wa mataifa,+ mlikuwa mkiongozwa kwenye zile sanamu+ zisizo na sauti+ kama vile mlivyoongozwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki