Zaburi 115:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Zina kinywa, lakini haziwezi kusema;+Zina macho, lakini haziwezi kuona;+ Zaburi 135:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zina kinywa, lakini haziwezi kusema lolote;+Zina macho, lakini haziwezi kuona chochote;+ Isaya 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+ Habakuki 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Ole wake anayekiambia kipande cha mti: “Ee amka!” anayeliambia jiwe lisiloweza kusema: “Ee amka! Hizo zenyewe zitafundisha”!+ Tazama! Zimefunikwa kwa dhahabu na fedha,+ wala hamna pumzi yoyote katikati yake.+ 1 Wakorintho 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mnajua kwamba mlipokuwa watu wa mataifa,+ mlikuwa mkiongozwa kwenye zile sanamu+ zisizo na sauti+ kama vile mlivyoongozwa.
7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+
19 “ ‘Ole wake anayekiambia kipande cha mti: “Ee amka!” anayeliambia jiwe lisiloweza kusema: “Ee amka! Hizo zenyewe zitafundisha”!+ Tazama! Zimefunikwa kwa dhahabu na fedha,+ wala hamna pumzi yoyote katikati yake.+
2 Mnajua kwamba mlipokuwa watu wa mataifa,+ mlikuwa mkiongozwa kwenye zile sanamu+ zisizo na sauti+ kama vile mlivyoongozwa.