29 Hata hivyo, kila taifa tofauti likajifanyia mungu wake mwenyewe,+ ambaye walimweka katika nyumba ya mahali pa juu ambapo Wasamaria walikuwa wamejenga, kila taifa tofauti, katika majiji yao ambamo walikuwa wakikaa.
11 Je, taifa limebadili miungu,+ kwa ajili ya ile ambayo si miungu?+ Lakini watu wangu mwenyewe wameubadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu ambacho hakiwezi kuleta faida yoyote.+