Yeremia 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kama sanamu ya kufukuza ndege katika shamba la matango, haziwezi kuzungumza;+Lazima zibebwe, kwa maana haziwezi kutembea.+ Msiziogope kwa maana haziwezi kuwadhuru,Wala haziwezi kufanya jambo lolote jema.”+
5 Kama sanamu ya kufukuza ndege katika shamba la matango, haziwezi kuzungumza;+Lazima zibebwe, kwa maana haziwezi kutembea.+ Msiziogope kwa maana haziwezi kuwadhuru,Wala haziwezi kufanya jambo lolote jema.”+