23 Semeni mambo ambayo yatakuja baadaye, ili tujue kwamba ninyi ni miungu.+ Ndiyo, mnapaswa kutenda mema au kutenda mabaya, ili tutazame huku na huku na kuyaona wakati uleule.+
9 Wanaofanya sanamu ya kuchongwa wote ni ubatili,+ na vipenzi vyao hawatakuwa na faida yoyote;+ na wakiwa mashahidi wao hawaoni lolote wala hawajui lolote,+ ili waone aibu.+
20 “Jikusanyeni na kuja.+ Njooni karibu pamoja, ninyi wenye kuponyoka kutoka katika mataifa.+ Wale wanaochukua miti ya sanamu yao ya kuchongwa hawajapata ujuzi wowote, wala wale wanaotoa sala kwa mungu ambaye hawezi kuokoa.+