Isaya 44:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+ Isaya 46:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumbukeni mambo ya kwanza ya zamani za kale,+ kwamba mimi ni Mungu+ wala hakuna Mungu mwingine,+ wala yeyote kama mimi;+ Yeremia 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, mtu wa udongo anaweza kujifanyia miungu wakati hiyo si miungu?+
6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+
9 Kumbukeni mambo ya kwanza ya zamani za kale,+ kwamba mimi ni Mungu+ wala hakuna Mungu mwingine,+ wala yeyote kama mimi;+