Zaburi 50:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Mwenye Uwezo,+ Mungu, Yehova,+ amesema mwenyewe,+Naye anaiita dunia,+Kutoka mashariki mpaka magharibi.+ Zaburi 118:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ndiye Mungu,+Naye hutupa nuru.+Fungeni maandamano ya sherehe+ kwa matawi,+Mpaka kwenye pembe za madhabahu.+ Waroma 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+
50 Mwenye Uwezo,+ Mungu, Yehova,+ amesema mwenyewe,+Naye anaiita dunia,+Kutoka mashariki mpaka magharibi.+
27 Yehova ndiye Mungu,+Naye hutupa nuru.+Fungeni maandamano ya sherehe+ kwa matawi,+Mpaka kwenye pembe za madhabahu.+
20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+