Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,+

      Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+

  • Isaya 37:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na miungu yao iliteketezwa kwa moto,+ kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe, hivi kwamba wakaiharibu.+

  • Yeremia 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, taifa limebadili miungu,+ kwa ajili ya ile ambayo si miungu?+ Lakini watu wangu mwenyewe wameubadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu ambacho hakiwezi kuleta faida yoyote.+

  • Matendo 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Pia, mnaona na kusikia jinsi si katika Efeso+ tu, bali pia katika karibu wilaya yote ya Asia, Paulo huyu ameshawishi umati mkubwa na kuwageuza kwenye kauli nyingine, akisema kwamba wale waliofanywa kwa mikono+ si miungu.

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

  • Wagalatia 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hata hivyo, wakati hamkumjua Mungu,+ ndipo mlipoitumikia ile ambayo kwa asili si miungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki