Waefeso 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+ 1 Wathesalonike 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 si katika hamu yenye tamaa ya ngono+ kama ile waliyo nayo pia mataifa+ wale wasiomjua Mungu;+
12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+