Zaburi 115:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,+Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+ Yeremia 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amesema hivi: “Msijifunze njia ya mataifa hata kidogo,+ wala msiingiwe na hofu kutokana na ishara za mbinguni, kwa sababu mataifa yanaingiwa na hofu kutokana nazo.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
2 Yehova amesema hivi: “Msijifunze njia ya mataifa hata kidogo,+ wala msiingiwe na hofu kutokana na ishara za mbinguni, kwa sababu mataifa yanaingiwa na hofu kutokana nazo.+
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+