Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na itatukia kwamba wale waliobaki katika Sayuni na wale waliosalia katika Yerusalemu watasemwa kuwa ni watakatifu kwake,+ kila mtu aliyeandikwa kwa ajili ya uzima katika Yerusalemu.+

  • Isaya 66:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao kwa kweli watawaleta ndugu zenu wote kutoka katika mataifa+ yote kuwa zawadi kwa Yehova,+ wakiwa juu ya farasi na ndani ya magari na ndani ya magari ya kukokotwa yaliyofunikwa na juu ya nyumbu na juu ya ngamia-jike+ wepesi, mpaka kwenye mlima wangu mtakatifu,+ Yerusalemu,” Yehova amesema, “kama vile wana wa Israeli wanavyoleta zawadi katika chombo safi ndani ya nyumba ya Yehova.”+

  • Yeremia 50:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Kuna sauti ya wale wanaokimbia na wale wanaoponyoka kutoka katika nchi ya Babiloni+ ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,+ kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki