Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Isaya 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kutakuwa na njia kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya mabaki+ ya watu wake watakaobaki,+ kama ilivyokuwapo njia kwa ajili ya Israeli siku ile alipokuwa akiondoka katika nchi ya Misri.

  • Isaya 43:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nitaiambia kaskazini,+ ‘Toa!’ na kusini, ‘Usizuie. Walete wanangu kutoka mbali, na binti zangu kutoka mwisho wa dunia,+

  • Isaya 54:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana utapasua kwenda upande wa kuume na wa kushoto,+ na uzao wako mwenyewe utayamiliki hata mataifa,+ nao watakaa hata katika majiji yaliyoachwa ukiwa.+

  • Isaya 60:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Inua macho yako pande zote, uone! Wote hao wamekusanywa pamoja;+ wamekuja kwako wewe.+ Wana wako wanaendelea kuja kutoka mbali, na binti zako ambao watatunzwa wakiwa ubavuni.+

  • Mathayo 24:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki