Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 19:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Katika siku hiyo kutakuwa na njia kuu+ kutoka Misri kwenda Ashuru, na Ashuru kwa kweli watakuja kuingia Misri, na Misri kuingia Ashuru; nao hakika watatoa utumishi, Misri pamoja na Ashuru.

  • Isaya 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sikilizeni! Mtu fulani anaita nyikani:+ “Fungueni njia ya Yehova!+ Nyoosheni njia kuu kwa ajili ya Mungu wetu katika nchi tambarare ya jangwani.+

  • Isaya 57:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hakika mtu atasema, ‘Fanyeni matuta, fanyeni matuta! Fungueni njia.+ Ondoeni kipingamizi chochote katika njia ya watu wangu.’”+

  • Isaya 62:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tokeni nje, tokeni nje kupitia malango. Fungueni njia ya watu.+ Fanyeni matuta, fanyeni matuta kwa ajili ya njia kuu. Ondoeni mawe juu yake.+ Inueni ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki