23 Katika siku hiyo kutakuwa na njia kuu+ kutoka Misri kwenda Ashuru, na Ashuru kwa kweli watakuja kuingia Misri, na Misri kuingia Ashuru; nao hakika watatoa utumishi, Misri pamoja na Ashuru.
10 Tokeni nje, tokeni nje kupitia malango. Fungueni njia ya watu.+ Fanyeni matuta, fanyeni matuta kwa ajili ya njia kuu. Ondoeni mawe juu yake.+ Inueni ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+