Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Huyu, kwa kweli, ndiye anayesemwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni+ njia ya Yehova! Nyoosheni barabara zake.’ ”

  • Marko 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 sikilizeni! mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake,’ ”+

  • Luka 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya nabii Isaya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake.+

  • Yohana 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Akasema: “Mimi ni sauti ya mtu anayepaaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’ kama vile nabii Isaya alivyosema.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki