Isaya 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sikilizeni! Mtu fulani anaita nyikani:+ “Fungueni njia ya Yehova!+ Nyoosheni njia kuu kwa ajili ya Mungu wetu katika nchi tambarare ya jangwani.+ Mathayo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Huyu, kwa kweli, ndiye anayesemwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni+ njia ya Yehova! Nyoosheni barabara zake.’ ” Marko 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 sikilizeni! mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake,’ ”+
3 Sikilizeni! Mtu fulani anaita nyikani:+ “Fungueni njia ya Yehova!+ Nyoosheni njia kuu kwa ajili ya Mungu wetu katika nchi tambarare ya jangwani.+
3 Huyu, kwa kweli, ndiye anayesemwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni+ njia ya Yehova! Nyoosheni barabara zake.’ ”
3 sikilizeni! mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake,’ ”+