8 Na hakika kutakuwa na njia kuu hapo,+ ndiyo, njia; nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.+ Asiye safi hatapita juu yake.+ Nayo itakuwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo, wala hakuna wapumbavu watakaotembea huku na huku juu yake.
3“Tazama! ninamtuma mjumbe wangu,+ naye atafungua njia mbele zangu.+ Na kwa ghafula Bwana wa kweli+ atakuja kwenye hekalu Lake,+ ambaye ninyi mnamtafuta, na mjumbe+ wa agano+ mnayependezwa naye.+ Tazama! Atakuja hakika,” asema Yehova wa majeshi.+