Mathayo 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Huyu ndiye ambaye imeandikwa hivi kumhusu, ‘Tazama! Mimi mwenyewe ninamtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye atatayarisha njia yako mbele yako!’+ Luka 1:76 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+ Yohana 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kulitokea mtu aliyetumwa awe mwakilishi wa Mungu:+ jina lake lilikuwa Yohana.+
10 Huyu ndiye ambaye imeandikwa hivi kumhusu, ‘Tazama! Mimi mwenyewe ninamtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye atatayarisha njia yako mbele yako!’+
76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+