Mathayo 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika siku hizo Yohana Mbatizaji+ alikuja akihubiri katika nyika+ ya Yudea, Luka 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imekubaliwa,+ na mke wako Elisabeti atamzaa mwana wako, nawe utamwita jina lake Yohana.+
13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imekubaliwa,+ na mke wako Elisabeti atamzaa mwana wako, nawe utamwita jina lake Yohana.+