Mathayo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Huyu, kwa kweli, ndiye anayesemwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni+ njia ya Yehova! Nyoosheni barabara zake.’ ” Marko 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 sikilizeni! mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake,’ ”+ Yohana 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akasema: “Mimi ni sauti ya mtu anayepaaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’ kama vile nabii Isaya alivyosema.”+ Yohana 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ninyi wenyewe mnanitolea ushahidi kwamba nilisema, Mimi siye Kristo,+ bali, nimetumwa kumtangulia huyo.+ Matendo 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 baada ya Yohana,+ kabla ya kuingia kwake Huyo,+ akiwa amekwisha kuhubiri hadharani kwa watu wote wa Israeli ubatizo unaoonyesha toba. Matendo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”
3 Huyu, kwa kweli, ndiye anayesemwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni+ njia ya Yehova! Nyoosheni barabara zake.’ ”
3 sikilizeni! mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake,’ ”+
23 Akasema: “Mimi ni sauti ya mtu anayepaaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’ kama vile nabii Isaya alivyosema.”+
28 Ninyi wenyewe mnanitolea ushahidi kwamba nilisema, Mimi siye Kristo,+ bali, nimetumwa kumtangulia huyo.+
24 baada ya Yohana,+ kabla ya kuingia kwake Huyo,+ akiwa amekwisha kuhubiri hadharani kwa watu wote wa Israeli ubatizo unaoonyesha toba.
4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”