Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Huyu, kwa kweli, ndiye anayesemwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni+ njia ya Yehova! Nyoosheni barabara zake.’ ”

  • Marko 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 sikilizeni! mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Yehova, nyoosheni barabara zake,’ ”+

  • Yohana 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Akasema: “Mimi ni sauti ya mtu anayepaaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’ kama vile nabii Isaya alivyosema.”+

  • Yohana 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ninyi wenyewe mnanitolea ushahidi kwamba nilisema, Mimi siye Kristo,+ bali, nimetumwa kumtangulia huyo.+

  • Matendo 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 baada ya Yohana,+ kabla ya kuingia kwake Huyo,+ akiwa amekwisha kuhubiri hadharani kwa watu wote wa Israeli ubatizo unaoonyesha toba.

  • Matendo 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki