Mathayo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+ Marko 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yohana mbatizaji alitokea nyikani, akihubiri ubatizo unaoonyesha toba ili kupata msamaha wa dhambi.+ Matendo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa sababu Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ siku chache baadaye.”
11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+
4 Yohana mbatizaji alitokea nyikani, akihubiri ubatizo unaoonyesha toba ili kupata msamaha wa dhambi.+
5 kwa sababu Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ siku chache baadaye.”