Luka 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yohana akajibu, akawaambia wote: “Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji; lakini mwenye nguvu kuliko mimi anakuja, ambaye kamba ya viatu vyake mimi sistahili kuifungua.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu na moto.+
16 Yohana akajibu, akawaambia wote: “Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji; lakini mwenye nguvu kuliko mimi anakuja, ambaye kamba ya viatu vyake mimi sistahili kuifungua.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu na moto.+