Mathayo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+ Marko 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi niliwabatiza ninyi kwa maji, lakini yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu.”+ Matendo 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 nao wote wakajazwa roho takatifu+ wakaanza kusema katika lugha+ tofauti, kama vile roho ilivyokuwa ikiwawezesha kusema.
11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+
4 nao wote wakajazwa roho takatifu+ wakaanza kusema katika lugha+ tofauti, kama vile roho ilivyokuwa ikiwawezesha kusema.