Matendo 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 baada ya Yohana,+ kabla ya kuingia kwake Huyo,+ akiwa amekwisha kuhubiri hadharani kwa watu wote wa Israeli ubatizo unaoonyesha toba. Matendo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”
24 baada ya Yohana,+ kabla ya kuingia kwake Huyo,+ akiwa amekwisha kuhubiri hadharani kwa watu wote wa Israeli ubatizo unaoonyesha toba.
4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”