Yohana 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 (Yohana alitoa ushahidi juu yake, ndiyo, kwa kweli alipaaza sauti—huyu ndiye aliyesema hilo—akisema: “Yule anayekuja nyuma yangu amekwenda mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.”)+ Yohana 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Huyu ndiye niliyesema juu yake, Nyuma yangu anakuja mwanamume ambaye yuko mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.+
15 (Yohana alitoa ushahidi juu yake, ndiyo, kwa kweli alipaaza sauti—huyu ndiye aliyesema hilo—akisema: “Yule anayekuja nyuma yangu amekwenda mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.”)+
30 Huyu ndiye niliyesema juu yake, Nyuma yangu anakuja mwanamume ambaye yuko mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.+