Yohana 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 (Yohana alitoa ushahidi juu yake, ndiyo, kwa kweli alipaaza sauti—huyu ndiye aliyesema hilo—akisema: “Yule anayekuja nyuma yangu amekwenda mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.”)+ Yohana 8:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kabla ya Abrahamu kuwako, mimi nimekuwako.”+ Wakolosai 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, yeye ni wa kabla ya vitu vingine vyote+ na kwa njia yake vitu vingine vyote vilifanywa kuwapo,+
15 (Yohana alitoa ushahidi juu yake, ndiyo, kwa kweli alipaaza sauti—huyu ndiye aliyesema hilo—akisema: “Yule anayekuja nyuma yangu amekwenda mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.”)+
17 Pia, yeye ni wa kabla ya vitu vingine vyote+ na kwa njia yake vitu vingine vyote vilifanywa kuwapo,+