Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana nitamimina maji juu ya mwenye kiu,+ na vijito vinavyotiririka juu ya mahali pakavu.+ Nitaimimina roho yangu juu ya uzao wako,+ na baraka yangu juu ya wazao wako.

  • Yoeli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Kisha itakuwa kwamba nitaimimina roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili,+ na wana wenu na binti+ zenu watatoa unabii. Nao wazee wenu wataota ndoto. Nao wanaume wenu vijana wataona maono.

  • Luka 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yohana akajibu, akawaambia wote: “Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji; lakini mwenye nguvu kuliko mimi anakuja, ambaye kamba ya viatu vyake mimi sistahili kuifungua.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu na moto.+

  • Matendo 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 nao wote wakajazwa roho takatifu+ wakaanza kusema katika lugha+ tofauti, kama vile roho ilivyokuwa ikiwawezesha kusema.

  • Matendo 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo nikayakumbuka maneno ya Bwana, jinsi alivyokuwa akisema, ‘Yohana alibatiza kwa maji,+ lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu.’+

  • 1 Wakorintho 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa kweli kwa roho moja sote tulibatizwa+ katika mwili mmoja, kama ni Wayahudi au ni Wagiriki, kama ni watumwa au ni walio huru, nasi sote tulinyweshwa+ roho moja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki