11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+
16 Yohana akajibu, akawaambia wote: “Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji; lakini mwenye nguvu kuliko mimi anakuja, ambaye kamba ya viatu vyake mimi sistahili kuifungua.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu na moto.+