Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+

  • Marko 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mimi niliwabatiza ninyi kwa maji, lakini yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu.”+

  • Luka 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yohana akajibu, akawaambia wote: “Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji; lakini mwenye nguvu kuliko mimi anakuja, ambaye kamba ya viatu vyake mimi sistahili kuifungua.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu na moto.+

  • Matendo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa sababu Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ siku chache baadaye.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki