Yohana 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata sikumjua, bali Yule aliyenituma+ nibatize katika maji aliniambia, ‘Yeyote yule ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye ambaye hubatiza katika roho takatifu.’+ Matendo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa sababu Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ siku chache baadaye.” Matendo 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo nikayakumbuka maneno ya Bwana, jinsi alivyokuwa akisema, ‘Yohana alibatiza kwa maji,+ lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu.’+
33 Hata sikumjua, bali Yule aliyenituma+ nibatize katika maji aliniambia, ‘Yeyote yule ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye ambaye hubatiza katika roho takatifu.’+
5 kwa sababu Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ siku chache baadaye.”
16 Ndipo nikayakumbuka maneno ya Bwana, jinsi alivyokuwa akisema, ‘Yohana alibatiza kwa maji,+ lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu.’+