Marko 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye alikuwa akihubiri, akisema: “Baada yangu mtu fulani mwenye nguvu kuliko mimi anakuja; mimi sistahili kuinama nizifungue kamba za viatu vyake.+ Yohana 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 yule anayekuja nyuma yangu, lakini ambaye kamba ya kiatu chake sistahili kuifungua.”+ Matendo 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Yohana alipokuwa akitimiza mwendo wake, akawa akisema ‘Mnadhani mimi ni nani? Mimi si yeye. Lakini, tazameni! mmoja anakuja baada yangu ambaye viatu vya miguu yake mimi sistahili kuvifungua.’+
7 Naye alikuwa akihubiri, akisema: “Baada yangu mtu fulani mwenye nguvu kuliko mimi anakuja; mimi sistahili kuinama nizifungue kamba za viatu vyake.+
25 Lakini Yohana alipokuwa akitimiza mwendo wake, akawa akisema ‘Mnadhani mimi ni nani? Mimi si yeye. Lakini, tazameni! mmoja anakuja baada yangu ambaye viatu vya miguu yake mimi sistahili kuvifungua.’+