Mathayo 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 akisema: “Tubuni,+ kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.”+ Luka 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi akaingia katika nchi yote kuzunguka Yordani, akihubiri ubatizo unaoonyesha toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi,+ Matendo 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 baada ya Yohana,+ kabla ya kuingia kwake Huyo,+ akiwa amekwisha kuhubiri hadharani kwa watu wote wa Israeli ubatizo unaoonyesha toba.
3 Basi akaingia katika nchi yote kuzunguka Yordani, akihubiri ubatizo unaoonyesha toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi,+
24 baada ya Yohana,+ kabla ya kuingia kwake Huyo,+ akiwa amekwisha kuhubiri hadharani kwa watu wote wa Israeli ubatizo unaoonyesha toba.